PICHA ZA MAZISHI YA MAMA HAJRAH (Mke wa Al Hajj Mputa)




Picha za mazishi ya mke wa Mwanaharakati ndugu Al Hajj Mputa, yaliofanyika Kisarawe jijini Dar es Salaam wiki hii.
Mwenyezi Mungu alifanye kaburi laka liwe viwanja katika viwanja vya peponi.
Hakika sisi sote ni waja wa Mwenyezi Mungu na kwake ni marejeo."

14/09/2016