KISOMO CHA DUA KWA AJILI YA MAMA HAJRAH (Mke wa Al Hajj Mputa).

Dua imefanyika nyumbani kwa marehemu Chanika jijini Dar es Salaam, Wanaharakati wa dini ya Kiislamu wamejuika pamoja na mwanaharakati mwenzao ndugu Al Hajj Mputa katika kisomo cha Qur'ani Tukufu na kumfariji.

Tusome Suratul Fatha kwa ajili ya marehemu waliyotutangulia mbele ya haki.

25/09/2016