Mwenyezi Mungu anasema katika kitabu chake
kitukufu: "Na kila (Umma) katika nyinyi tumeujaalia sharia yake na njia
yake. Na kama Mwenyezi Mungu angetaka angewafanya umma mmoja, lakini ni
kuwajaribu katika hayo aliyowapa, Basi shindaneni katika mambo ya kheri.
Marejeo yenu nyote ni kwa Mwenyezi Mungu; Naye atawaambia yale
mliyokuwa mkihitalifiana." (Surat al- Maidah: 48). Huu ni mwongozo kwa
wenye mazingatio