Waumini wa dini ya Kiislam wakiwa katika
mkusanyiko kwa ajili ya mazishi ya marehemu Ali Hussein Abbasi. Tusome
Surat Al-Fath kwa ajili ya ndugu yetu na Marehemu wote waliotangulia
mbele ya haki. "Hakika sisi sote ni waja wa Mwenyezi Mungu na kwake
tutarejea."