MWALIKO WA MAULID YA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD (S.A.W.W).

Asalaam Aleykum, Kamati ya Tabligh ya Hawzat Al-Imam Swaadiq (a.s), ikiongozwa na Maulana Shekh Hemed Jalala, siku ya J.pili watakuwa katika Sherehe ya Maulid ya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w), yatakayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia Saa 3:00 Asubuh hadi Saa 6:30 mchana, Waislamu wote mnakaribishwa.