WANAHARAKATI WA DINI YA KIISLAM WAUNGANA TANGA WILAYA YA LUSHOTO.


Wanaharakati wa dini ya Kiislam wameungana katika Mkoa wa Tanga Wilayani Lushoto kwa ajili ya kuendesha harambee maalumu kwa ajili ya Msikiti ambao umechukua mda mrefu bila kufanyiwa matengenezo sasa Wanaharakati hao wameamua kuchukua fursa ya kuutengeneza kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa dini Tukufu ya Kiislam.