HARAKATI ZA UJENZI WA MSIKITI ZINAENDELEA.

Ujenzi wa Msikiti unaendelea katika Mkoa wa Tanga Wilaya ya Lushoto hii ni moja ya jitihaga za kufanikisha jamii zetu zinaishi katika sehemu salama na kujipatia elimu yenye manufaa kwa ajili ya kukuza uelewa juu ya maadili yanayotakiwa kwa Mwanadamu.