WANAHARAKATI WA BILAL MUSLIM MISSION WATEMBELEA WILAYA YA RUFIJI.



Viongozi na Wanaharakati wa Bilal Muslim Mission leo wametembelea Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani katika baadhi ya matawi yake kwa ajili ya kuangalia mazingira ya vituo vyao na maendeleo ya walimu na Wanafunzi na kupanga mikakati ya ufanyaji kazi katika uwanja wa Harakai ya kuelimisha Ummah. Bilal imedhamilia kwa dhati kunyanyua elimu ya dini ya Kiislamu kwa mara nyingine tena.