MWALIKO WA SHEREHE.


Imepokewa kutoka kwa Imam Ridha (a.s) kuwa Mtume (s.a.w.w) amesema: “Hakika bint yangu amepewa jina la Fatma kwa sababu Mwenyezi Mungu amemtenga mbali na moto yeye na yule atakayempenda.” Rejea: Uyunu Akhbar-Ridha, Juz. 2 Uk. 46. Maanil-Akhbar, Uk. 64. Ilalus- Sharaiu, Uk. 178.