SHEREHE YA MAPINDUZI YA KIISLAM YA IRAN, IMEFANYIKA KATIKA UBALOZI WA IRAN, JIJINI DAR ES SALAAM.

Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ubalozi wa Iran,
 Morteza Sabouri, (kushoto) akitoa historia fupi juu ya Mapinduzi ya Kiislam ya Iran, katika Sherehe ya kusherehekea Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, iliyofanyika katika kituo cha Utamaduni cha Ubalozi wa Iran, Upanga jijini Dar es Salaam.