SIKU YA QUDS NI UKOMBOZI WA MWANADAMU DUNIANI.

Maulana Sheikh Hemed Jalala,
 akiwa katika maojiano na waandishi wa habari, akizungumzia matatizo yanayowakumba wa Palastina kutokana na sera kandamizi za Wazayuni.

 Waumini wa Kiislam wakiwa katika matembezi ya Amani yaliyofanyika Kigogo Post.

Ipo siku Quds itarudi mikononi mwetu.


"Msidhulumu wala msikubali kudhulumiwa"
 (Qur'an: 2:279)

(QUDS NI YETU LAZIMA IRUDI KWETU)



Waislamu kila siku ya maisha yetu tuwe tunaikumbuka Quds.