Leo
 mnamo tarehe 10/04/2015 sawa na mwezi 20 Jamad Thani, Taasisi ya Bilal 
Tanga,imefanya ufunguzi wa msikiti mpya katika kijiji cha Bombo maji 
moto baada ya waumini wa sehemu hiyo kuwa na tatizo la muda mrefu la 
kukosa msikiti  wa kufanyia ibada zao.Kwa uwezo wa Allah (s.w),Taasisi 
hiyo ya Bilal baada ya kugundua tatizo hilo imeweza kufanya haraka na 
kujenga msikiti huo na leo hii kuwakabidhi waislam wa kijiji hicho.
Mwenyeezi Mungu (s.w) awazidishie wafadhili hao kila la kheri na baraka katika kazi zao.Inshallah.
Washukran.
Na Sheikh Taqee
Mwenyeezi Mungu (s.w) awazidishie wafadhili hao kila la kheri na baraka katika kazi zao.Inshallah.
Washukran.
Na Sheikh Taqee

