Mitume wa Mwenyezi Mungu wakiongozwa na Mtume
Muhammad (S.A.W.W) na Ahlul Bayt wake watoharifu ndio walio katika
daraja ya juu zaidi kwa mtazamo wa kuwaongoza wanaadamu. Baada yao
maulamaa na wanazuoni Waislam ndio waliorithi jukumu la kueneza risala
ya Mwenyezi Mungu.