Tanzania tunaitaji Kiongozi mahiri na jasiri kama Ibrahim Zakzaky, 
Kiongozi mwenye hofu na nchi za kibeberu hafai katika jamii leo hii 
tunaona baadhi ya watu na wanajiita Wanaharakati wanajaribu
 kuficha asali za Uislam nakuogopa kusema kweli pindi wanapoona dhuluma 
inatendeka kwa kuhofia kifungo na kifo, tumeshuhudia hivi karibuni 
katika baadhi ya maeneo wakipinga kusimamishwa picha za Maulamaa kwa 
hofu juu ya mataifa makubwa ya kibeberu kuwa wataweza kuonekana wanaunga
 mkono upinzani uliyopo baina ya kikundi cha Moqawama (Hizbullah) 
wanaoupigia kelele utawala halamu wa Israeli tujiulize je, leo hii nani 
anayesitahiki kunyanyua sauti dhidi ya dhuluma zinazofanywa 
ulimwenguni?.
 "Haki hiko wapi hali ya kuwa picha za maulamaa zinafichwa
 chini ya uvungu wa kitanda."
