TAARIFA.

Taarifa tulizozipata hivi punde ni kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda amepigwa risasi ya Bega Mkoani Morogoro na hivi sasa yupo Hospitali kwa ajili ya matibabu,inasemekana kuwa Sheikh Ponda alikuwa na Muhadhara katika Mkoa huo . Tutajulishana habari zaidi zitakapotufikia juu ya tukio zima.