MIPANGO YA MAYAHUDI.


Mayahudi wameweka mikakati ambayo imechapishwa katika Kitabu chao: "Protokalati Hukamai Swahyun" Na kuhaririwa katika kitabu: "Makayidu yahudiyya" cha Abdur Rahman Hassan Habannakah Alimaydany. Mikakati hiyo imeelekeza kama ifuatavyo:

Katika mwaka 1770 Miladiya, Mayahudi walianzisha taasisi ya Rostshild ambayo ilikuwa na nguvu katika nchi za Ulaya. Mtu mmoja aliyeboresha mpango wa Protokali ya watawa wa Kiyahudi ni mtu aliyeingia tu dini ya Uyahudi aitwae Adam Waizahawit.

Katika mwaka 1776 Adam Waizahawit akakamilisha kazi yake, na lengo lake lilikuwa ni kuvunja dini zote na kuangusha Serikali zilizoko madarakani. Adam Waizahawit aliunda kamati ya watu elfu mbili iliyojulikana kwa jina la Nuraniyya (Masuniyya) kazi ya kamati hiyo itakuwa kufarakanisha malengo yafuatayo:

(a) Kutoa rushwa na wanawake, ili kuwapata maofisa waliomo katika idara muhimu za Serikali.
(b) Kuingiza watu wao katika vyuo vikuu kwa ajili ya kueneza siaza zao.
(c) Kujiingiza katika nafasi muhimu za Serikali kama vile mashirika ya upelelezi.

Mwaka 1829, Nuraniyya walifanya mkutano New York. Mwaka 1834.
Nuraniyya walimchagua Mazinii kuwa kiongozi wao duniani.

Kisha Jenerali wa Kimarekani Alborot Bayk alichaguliwa kuwa mmoja wa viongozi wa kamati ya Nuraniyya. Mwaka 1871, Jenerali Alborot Bayt alimuhakikishia rafiki yake Mazinii kuwa: Tutazidhibiti harakati zote kwa kueneza upagani.

Ulipofika mwaka 1872 Mazinii alifariki, na Jenerali Alborot akamteua kiongozi wa mapinduzi ya Italia aitwae Lummi kushika mahala pa Mazinii.
Mayahudi makazi yao yalikuwa Frankfurt Ujerumani mwishoni mwa Karne ya kumi na nane ilipoundwa Familia ya Rutshid. Kisha makazi yakahamishiwa Switzerland baada ya kufukuzwa na Serikali ya Bavaria, Ujerumani mwaka 1786. Mwishoni mwa vita vikuu vya pili vya ulimwengu makazi ya Mayahudi yalihamishiwa New York Amerika.

Mwishoni mwa kipindi cha dola ya Uthmaniyya (Waturuki) Mayahudi walikuwa tayari wameanzisha baraza la Masuniyya (Free Mason).
Viongozi wa Masuniyya katika kipindi hiki waliweza kufanya kazi yao,ambapo walijifanya Waislamu wakachanganyika pamoja nao, na walipomaliza kazi yao wakarudi kwenye ukafiri wao.

Mayahudi kwa kusaidiana na kamati ya Masuniyya katika dola ya Uthmaniyya, walipeleka barua kwa Mfalme wao Abdul Hamid bin Abdul Majid. Wakamtuma Qarhasu kupeleka barua pamoja na rushwa, alipofika kwa Mfalme akasema: Mimi nimekuja kwa niaba ya Masuniyya ili kukutana na nyinyi, mpokee zawadi ya vipande vya dhahabu milioni tano kwa ajili ya stoo yenu tu, na vipande (vingine) vya dhahabu milioni mia moja kuwa mkopo kwa ajili ya stoo ya dola, mkopo usiokuwa na riba kwa muda wa miaka mia moja. Ili mturuhusu kupata haki ya kuishi katika ardhi ya Falastin. Mara alipokwisha kusema hayo Qarhasa Abdul Hamid akamgeukia Swahibu yake aliyeketi karibu yake akasema: Unajua anayokusudia Nguruwe huyu? Yule Swahibu yake akaonyesha kutomwelewa.

Abdul Hamid akamgeukia Yahudi Qarhasu, akamwambia: Toka usoni kwangu ewe uliye duni. Akatoka amedhalilika mpaka Italia, kisha walimletea barua Abdul Hamid: "Wewe umekataa ombi letu, basi utajuta kukataa kwako na utawala wako utakusumbua sana." Mayahudi hawakukata tamaa, baadae walimtumia Hirtzel aliyefuatana na Musa Levy katika 1897 walipofika kwa Mfalme Abdul Hamid wakasifu; Dola ya Uthmaniyya inavyoangalia raia wake kwa wema kabisa, kisha wakamuomba awape Mayahudi haki ya kukaa katika ardhi ya Falastin. Nao Mayahudi watamfanyia yafuatayo:

(a) Kukuza siasa za Uthmaniyya duniani kote.
(b) Kumsaidia Mfalme kuboresha mamlaka yake kiuchumi.
(c) Kuanzisha vyuo vikuu vya Uthmaniyya katika Quds, ambapo wanafunzi wa Kiislamu hawatahitajia tena kwenda kusoma Ulaya.

Aliposikia maneno yao Mfalme Abdul Hamid akakunja paji lake akasema:
Nafikiri ndugu zenu zenu Mayahudi wanaishi katika maisha ya raha sana, kwa sababu ya uongozi mzuri waliopewa na babu zangu, kwa hiyo mambo gani mnayotudai ambayo sisi tumeyasahau? Akajibu Musa Levy: Astaghfirullah ewe bwana wetu! Sisi hatuna mashtaka yoyote, lakini sisi tunatamani kuwakusanya Mayahudi waliotawanyika ulimwenguni, na tuwapatie ardhi watakayoitiwa hapo milele.

Mfalme akamjibu: Hakika nyinyi mnanufaika zaidi na uchumi wa nchi kuliko wananchi wake, au sivyo ewe Musa? Ikiwa kimya, ndipo Hirtzel akaingilia kati akasema: Kwa mfano, kama bwana wetu akikubali kutuuzia ardhi ambayo haikaliwi katika Falastin kwa thamani iliyokadiriwa. Mara akakasirika Mfalme akapiga ukelele akiwaambia: Kwa hakika ardhi za nchi haziuzwi, kwa sababu miji iliyomilikiwa kwa njia ya kumwaga damu haiuzwi ila kwa thamani ile ile. Mayahudi waliposhindwa kuichukua ardhi ya Falastin kwa njia ya za rushwa na udanganyifu, walipanga mipango mingine kwa siri siri.
Mwaka 1908 Anwar Basha aliupinduwa Ukhalifa, na hapo dola ya Uthmaniyya ikamalizika. Anasema Barnardo Lewis kuwa: Hakika walisaidiana ndugu wawili: Masuniyya na Mayahudi kwa njia za siri kuondoa ufalme wa Abdul Hamid bin Abdul Majid. Kwa sababu yeye alionyesha upinzani mkali kwa Mayahudi alipokataa kata kata kutoa shibri moja ya ardhi kwa ajili ya Mayahudi nchini Falastin: Tarekh inahadithia kuwa: Mwaka 1912 Masuniyya wa Kiyahudi Mitro Salim alipanga njama mbaya dhidi ya mfalme Abdul Hamid ambazo baadae ziliwezesha kumvua madaraka.

Abdul Hamid kisha alimwandikia barua Sheikh wake aliyekuwa Damascuss kumuelezea sababu za kuvuliwa madaraka. Barua kamili ya Abdul Hamid kwa Sheikh wake ilikuwa hivi:

"Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Bwana wa viumbe vyote, na ubora kabisa wa rehema na utimilifu mkubwa wa amani uwe juu ya Bwana wetu Muhammad Mtume wa Bwana wa viumbe. Na uwe juu ya swahaba wake wote (wema) na waliofuatia mpaka siku ya malipo.

Naleta maoni yangu haya kwa Sheikh wa twariqa tukufu ya shadhili, kwa mwenye kujaa roho na uhai, kwa Sheikh wa watu wa zama zake Sheikh Mahmud Afande Abi Shamat, na ninabusu mikono yake miwili yenye baraka, hali ya kutarajia maombi yake mema.

Baada ya kutoa heshima yangu, naonyesha yakuwa: Mimi nimeipokea barua yenu iliyoandikwa tarehe 22-3-1912. Ninamhimidia Mola na kumshukuru kuwa nyinyi muwazima na salama, iwe milele. Bwana wangu! Bila shaka mimi kwa Tawfiq ya Mwenyezi Mungu ni mwenye kudumu kusoma nyiradi za Shadhiliyya usiku na mchana.

Na ninaonyesha kuwa mimi ninaendelea kuhitaji maombi yenu ya moyoni siku zote. Na baada ya utangulizi huu ninaonyesha kwa muongozo wenu na kwa mifano yenu enyi wenye utukufu na akili zilizotua, Mas-ala muhimu yafuatayo kama amana katika jukumu la Tarekh: kwa hakika mimi sikuacha Ukhalifa wa Kiislamu kwa sababu yoyote, isipokuwa mimi, kwa sababu nzito kutoka kwa viongozi wajumuia ya muungano iitwayo: John Turk nililazimika kuachishwa Ukhalifa.

Jamaa hao walinishikilia tena na tena niiuze ardhi ya watu wangu ardhi tukufu ya Falastin kwa Mayahudi, sikukubali kabisa. Kisha wakaniahidi kunipa vipande vya dhahabu milioni mia moja na hamsini, pia nikakataa katakata. Niliwajibu kuwa: Nyinyi kama mngetoa dhahabu iliyojaa dunia nzima, achilia mbali hivi vipande vya dhahabu mlivyonipa, sitakubali lengo lenu hili kabisa. Nimekwisha utumikia Uislamu na Umati Muhammad zaidi ya miaka thelathini, na sijachafua ukurasa wa Waislamu wa wazee wangu na babu zangu wafalme na Makhalifa waki Uthmaniyya, kwa ajili hii sitakubali lengo lenu kabisa.

Ndipo walipopanga mipango ya kunivua uongozi, na yakuwa baada ya hapo yalikuwa.

                                                          Wassalaamu Alaykum
                                                      Abdul Hamid bin Abdul Majid."
Mwaka 1920 walitoa waraka wa siri kuhimiza mambo yafuatayo:

(a) Jumuia zote za Kiyahudi ziingiliane na taasisi za nchi mbalimbali.
(b) Ifanywe kwa kadiri inavyowezekana kuwamiliki watawala walioko madarakani.
(c) Wajiweke katika mazingira ya kimasihi ili waonekane kwa jamii ni watu wa dini.
(d) Ukuzwe utamaduni wa Kiyahudi katika kila miji mikubwa ulimenguni.

Gazeti moja la Kifaransa la mwaka 1920 liliandika kuwa: Mayahudi ndio waliopanga mapinduzi ya Urusi. Na gazeti la Kijerumani liitwalo: "Latuniya" la tarehe 12-mwaka 1894 lilitangaza furaha yake kwa kuenea ujamaa. Kwa sababu asili ya Masuniyya na Ujamaa ni moja. Katika mwaka 1904 ripoti ilisema kuwa: Mayahudi Karl Marx na Frederick Engels chimbuko lao ni Masuniyya.

Kwa kiasi cha miaka sabini tangu mwishoni mwa karne ya kumi na nane, Mayahudi walitimiza ndoto yao ya kujenga nguzo za sera zao ambazo ni:
(a) Kusambaratisha serikali za Kiislamu na kuweka vibaraka wao.
(b) Kusambaratisha Urusi ili Mayahudi wapate kukuza sera zao.
(c) Kujiingiza katika kila dola ulimwenguni ili kushika vituo muhimu katika idara za Serikali.
(d) Kuwasha vita vikuu vya ulimwengu, katika vita vikuu vya kwanza, Mayahudi waliweza kujipanga. Na vita vikuu vya pili Mayahudi waliweza kuzikunja dola kadhaa, na walijenga mazingira mazuri ya kisiasa na uchimi.
(e) Kusimamisha dola yao katika nchi ya Falastin, na kuwafukuza wakazi wake na kuwatawanya. Kiongozi wao mmoja Nahum Goldman anasema: Sisi Mayahudi haitushughulishi kuwa katika siasa za kibepari au za kijamaa, sisi ni Mayahudi tu.

Toleo moja la gazeti la Kifaransa la mwaka 1856 liliandika kuwa: Sisi Masuniyya tunaposimamisha vita kati yetu na dini, lazima ama tufute dini zisiweko, au sisi tuuliwe wote tusiweko. Kwa hiyo, hatutapumua mpaka tufunge Misikiti na Makanisa. Sisi tunasafisha akili na mitazamo iliyopandikizwa na dini.

Katika mkutano wa Masuniyya mwaka 1922 lilitolewa tamko kwamba:  Inatupasa tusisahau kuwa sisi ni maadui wa dini zote, na ni lazima kuimalisha juhudi hizi kama zinavyoelekeza.

Mwaka 1903 gazeti moja la Masuniyya liliandika: Hakika mapambano dhidi ya dini hayawezi kufikia lengo lake ila baada ya kutenganisha dini na dola (Kutenganisha siasa na dini) ili Masuniyya ikae mahala pa dini, na mabaraza yake yakae mahala pa Misikiti na Makanisa.

Rejea: Makayidu yahudiyya Uk. 259-298

Kila mtu anayefuatilia harakati za Masuniyya ataona sehemu kubwa ya malengo yaliyoonyeshwa na mabaraza na mikutano na maandishi ya Masuniyya katika vipindi tofauti ni: Kuweka nguvu ya Waisraeli, na kuunda dola yao kubwa itakayotawala ulimwenguni kote.

UKOMBOZI WA FALASTIN:

Katika vita vya Khaybara, Tarekh inaonyesha kuwa: Mtume (s.a.w.w) alimpeleka kila mmoja katika Maswahaba, akampa bendera kwenda kupigana na Mayahudi, hakuna aliyeshinda. Mpaka Mtume (s.a.w.w) alipompa bendera mtu ambaye ni Mpenzi wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Akaenda akapigana akashinda, Khaybar ikawa mikononi mwa Waislamu. Sasa Mayahudi wamekita nguzo zao katika ardhi ya Falastin, tunawasikia kina Marhab wanajisifu na kujivuna na wanamdharau kila mtu.
Wanaendesha mauaji ya halaiki, na kuangamiza kila kitu.