MAANDALIZI YA MFUNGO WA MWEZI WA RAMADHAN.

Baadhi ya Waumini wa Kiislam 
wakiwa katika Soko kuu la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya manunuzi ya Futar, huku baadhi ya mitaa imeonekana biashara ya Maboga na Mihogo, ikishamiri zaidi ndani ya mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan ukitofautisha na kipindi cha nyuma.