MWALIKO:-

Asalaam Aleykum, Tunapenda kutoa mwaliko kwa Waislam wote katika Semina ya kumkumbuka muasisi wa dola ya Kiislamu ya Iran Imam Khomein aliyefariki mnamo tarehe 03/06/1989. Semina itafanyika siku ya Jumamosi tarehe 07/06/2014 kuanzia saa 2:00 Asubuhi hadi saa 11:00 jioni katika ukumbi wa Jaffery Complex, Morogoro road pia kutakuwa na T-shirt zenye hujumbe wa Imam Khomein zitapatikana kwa bei ya 10000/= kwa ajili ya kuchangia harakati zetu ili tuweze kufika mbele zaidi. Kwa mawasiliano zaidi piga namba: 0784 632 514, 0786 750004.