CHANGIA AFROSHIA KWA MAENDELEO YA UMMAH.



Changia afroshia kwa kununua T-Shirt ili tuweze kusukuma gurudumu la harakati mbele zaidi.


Mwenyezi Mungu (s.w.t) anasema katika kitabu chake kitukufu: “Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wale wanaopigana katika njia yake kwa safu kama kwamba wao ni jingo lililokamatana.” (Qur’an: 61:4)