Wataalamu wa historia ya mambo ya kale wenye
taasisi yao nchini Iran wametembelea taasisi ya Al-Itrah Foundation
yenye makazi yake Posta jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia
jinsi gani wataweza kufanya kazi ya kutafsiri kazi zao kwa lugha ya
Kiswahili ili waweze kufikisha hujumbe mbalimbali juu ya historia katika
jamii ya Kitanzania.