MASHINDANO YA QUR'AN TUKUFU YAFANYIKA ILALA, JIJINI DAR ES SALAAM.

Mashindano ya usomaji wa Qur'an Tukufu kwa ajili ya kuwapata wawakilishi wawili Tajweed na Hifdh kwenda kushiriki mashindano ya kimataifa nchin Iran mwezi ujao yamefanyika leo ktk ukumbi wa Istiqaamah Ilala ambapo al-khiy Mohd Ramadhani Binde ameshinda ktk Tajweed na al-khiy Abdulhamid ameshinda ktk Hifdh,mashindano hayo yameandaliwa na kituo cha utamaduni cha ubalozi wa Iran nchini kwa kushirikiana na kamati ya maandalizi ya wiki ya Qur'an na mgeni Rasmi alikuwa mh Zungu mbunge wa Ilala,tunawatakia mafanikio zaidi kwa wawakilishi wetu hao. Na Muhammed Bandary