MAULANA SHEIKH HEMED JALALA AMEFANYA ZIHARA YA KUMTEMBELEA SHEIKH ABDILLAH NASIR.

Maulana Sheikh Hemed Jalala,
 akimjulia hali Sheikh Abdillah Nasir, wiki iliyopita, Sheikh Abdillah Nasir amesema kwa kweli amefarijika sana kwa kutembelewa na Masheikh wa Kishia tena ni Waafrika, pia amewataka Masheikh hao kujiamini katika kazi zao za kufikisha ujumbe wa Ahlul-Bayt (a.s), amemalizia kwa kuwashukuru sana kwa moyo wao wa kwenda kumjulia hali. Kwa sasa anaendelea vizuri anaitajia Dua zenu