MWANAHARAKATI MKONGWE.

Sheikh Waziri Nyello 
alikuwa na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s), leo hii ana nguvu tena ya kufanya kazi hiyo, kwa ajili ya afya yake na Utu uzima, kwa kweli nasi atunabudi kufuata nyao zake katika ufikishaji ujumbe wa Ahlul-Bayt (a.s). Tumuombee Dua Mwenyezi Mungu amjalie afya njema, hili tuzidi kupata busara zake.