KUMBUKUMBU YA MAZAZI YA BIBI FATMA ZAHRA (A.S), IMEFANYIKA MASJID GHADIIR, KIGOGO POST, DAR ES SALAAM.

Sayyed Shaheed, 
Mudir wa Chuo Kikuu cha Al-Mustaph, kilichopo Upanga, jijini Dar es Salaam, akizungumzia kwa kifupi historia ya Bibi Fatma Zahra (a.s), katika Sherehe iliyofanyika Masjid Ghadiir, Kigogo Post, jijini Dar es Salaam.
 Wanafunzi wa Hawzat Al-Imam Swaadiq (a.s),
 iliyopo Kigogo Post, jijini Dar es Salaam, wakisoma baadhi ya Mashairi ya kumsifu Bibi Fatma Zahra (a.s), katika Sherehe ya kukumbuka Mazazi yake iliyofanyika Masjid Ghadiir Kigogo Post, jijini Dar es Salaam.
 Waislam wa Madhihabu mbalimbali wakiwa katika kumbukumbu ya kukumbuka Mazazi ya Fatma Zahra (a.s), Mtoto wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w), iliyofanyika Kigogo Post, jijini Dar es Salaam.